2 Wafalme 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwishowe Yehoramu akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na Ahazia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake. 1 Mambo ya Nyakati 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehoramu mwana wake,+ Ahazia+ mwana wake, Yehoashi+ mwana wake,
24 Mwishowe Yehoramu akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na Ahazia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.