Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Daudi akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi.+

  • 1 Wafalme 11:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • 1 Wafalme 14:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake, akazikwa na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama, Mwamoni.+ Na Abiyamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikawa kwamba katika siku zilizofuata, kipindi cha miaka miwili kamili kilipokwisha, matumbo+ yake yakatoka nje wakati wa ugonjwa wake, na mwishowe akafa katika magonjwa yake mabaya; na watu wake hawakumfanyia mfukizo kama ule mfukizo+ waliowafanyia mababu zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki