24 Mwishowe Asa akalala pamoja na mababu zake,+ naye akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake;+ na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
50 Mwishowe Yehoshafati akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi+ babu yake; na Yehoramu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.