31 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake, akazikwa na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama, Mwamoni.+ Na Abiyamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
24 Mwishowe Asa akalala pamoja na mababu zake,+ naye akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake;+ na Yehoshafati+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.