Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka 35 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 25 katika Yerusalemu; na jina la mama yake lilikuwa Azuba binti ya Shilhi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kuwa alimtafuta Mungu wa baba yake,+ naye akatembea katika amri yake,+ wala si kulingana na matendo ya Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Yehoshafati akawa na utajiri na utukufu kwa wingi;+ lakini akafanya mapatano ya ndoa+ pamoja na Ahabu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehoshafati akaendelea kukaa Yerusalemu; naye akaanza kutoka tena na kwenda katikati ya watu kutoka Beer-sheba+ mpaka eneo lenye milima la Efraimu,+ ili kuwarudisha kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Yehoshafati na watu wake wakaja kupora nyara+ walizokuwa nazo, na katika nyara hizo wakakuta kwa wingi mali na mavazi na vyombo vyenye kutamanika; nao wakaendelea kuwavua mpaka waliposhindwa kuchukua zaidi.+ Nao wakapora nyara kwa siku tatu, kwa maana zilikuwa nyingi.

  • Mathayo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Asa akamzaa Yehoshafati;+

      Yehoshafati akamzaa Yehoramu;+

      Yehoramu akamzaa Uzia;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki