33 Na Ahabu akatengeneza mti mtakatifu;+ na Ahabu akafanya mengi zaidi ya kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.
25 Hakuna kamwe mtu yeyote ambaye amepata kuwa kama Ahabu,+ aliyejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova, ambaye Yezebeli+ mke wake alimchochea.+
18 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu;+ kwa maana binti ya Ahabu ndiye aliyekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.