Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na Ahabu akatengeneza mti mtakatifu;+ na Ahabu akafanya mengi zaidi ya kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

  • 1 Wafalme 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hivyo Ahabu akaenda nyumbani kwake, akiwa mwenye kinyongo na mwenye huzuni kwa sababu ya lile neno ambalo Nabothi Myezreeli alikuwa amemwambia, aliposema: “Sitakupa fungu la urithi la mababu zangu.” Kisha akalala kitandani pake, akakaa akiwa amegeuza uso wake,+ naye hakula mkate.

  • 1 Wafalme 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 tazama, ninaleta msiba juu yako;+ nami nitafagia kabisa nikikufuata nyuma yako+ na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu yeyote anayekojoa ukutani+ na asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli.

  • 2 Wafalme 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Ahabu alikuwa na wana 70+ katika Samaria.+ Kwa hiyo Yehu akaandika barua, akazituma Samaria kwa wakuu+ wa Yezreeli, wanaume wazee+ na watunzaji wa Ahabu, na kusema:

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Yehoshafati akawa na utajiri na utukufu kwa wingi;+ lakini akafanya mapatano ya ndoa+ pamoja na Ahabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki