1 Wafalme 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi mwanamke huyo akaandika barua+ kwa jina la Ahabu, akazitia muhuri+ kwa muhuri wa mfalme, akatuma barua hizo kwa wanaume wazee+ na watu wenye vyeo waliokuwa katika jiji lake, wakikaa na Nabothi.
8 Basi mwanamke huyo akaandika barua+ kwa jina la Ahabu, akazitia muhuri+ kwa muhuri wa mfalme, akatuma barua hizo kwa wanaume wazee+ na watu wenye vyeo waliokuwa katika jiji lake, wakikaa na Nabothi.