16 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nikusanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli,+ ambao unajua kwamba ni wanaume wazee wa watu na maofisa wao,+ nawe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nawe.
18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.