30 Basi Yehova akamwambia Yehu: “Kwa kuwa umetenda vema kwa kufanya yaliyo sawa machoni pangu,+ nawe umeitendea nyumba ya Ahabu+ kulingana na yote yaliyokuwa moyoni mwangu, wana, kufikia kizazi cha nne, wataketi kwa ajili yako juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.”+