23 Katika mwaka wa 15 wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli akawa mfalme katika Samaria kwa miaka 41.
12 Hilo lilikuwa ni neno la Yehova+ alilokuwa amemwambia Yehu, akisema:+ “Wana,+ mpaka kizazi cha nne, wataketi kwa ajili yako juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.” Na ikawa hivyo.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.