Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Katika mwaka wa 23 wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi+ mwana wa Yehu+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 17.

  • 2 Wafalme 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Katika mwaka wa 37 wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 16.

  • 2 Wafalme 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika mwaka wa 15 wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli akawa mfalme katika Samaria kwa miaka 41.

  • 2 Wafalme 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Katika mwaka wa 38 wa Azaria+ mfalme wa Yuda, Zekaria+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi 6.

  • 2 Wafalme 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hilo lilikuwa ni neno la Yehova+ alilokuwa amemwambia Yehu, akisema:+ “Wana,+ mpaka kizazi cha nne, wataketi kwa ajili yako juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.” Na ikawa hivyo.+

  • Ayubu 34:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,

      Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki