1Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.
1Maneno ya Amosi, aliyekuwa kati ya wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ ambayo aliona katika maono kuhusu Israeli+ katika siku za Uzia+ mfalme wa Yuda na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya lile tetemeko la nchi.+