2 Wafalme 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake, na Yeroboamu+ akaketi juu ya kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+
13 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake, na Yeroboamu+ akaketi juu ya kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+