2 Wafalme 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Yehoashi akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake, na Yeroboamu*+ akaketi kwenye kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa huko Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+
13 Kisha Yehoashi akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake, na Yeroboamu*+ akaketi kwenye kiti chake cha ufalme. Naye Yehoashi akazikwa huko Samaria pamoja na wafalme wa Israeli.+