2 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo watu+ wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ akiwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya+ kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake. Isaya 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+ Hosea 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.
26 Ndipo watu+ wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ akiwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya+ kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake.
1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+
1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.