Hesabu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+ Ayubu 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+ Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+
6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+
15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya lolote isipokuwa awe amewafunulia watumishi wake manabii jambo lake la siri.+