2 Wafalme 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na zaidi ya hayo, akamtuma Eliakimu,+ aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na wanaume wazee wa makuhani wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa Isaya+ nabii, mwana wa Amozi.+ 2 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Mambo ya Nyakati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Hezekia+ mfalme na Isaya+ mwana wa Amozi,+ nabii,+ wakaendelea kusali kuhusu jambo hilo+ na kuendelea kuzililia mbingu ili kupata msaada.+
2 Na zaidi ya hayo, akamtuma Eliakimu,+ aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na wanaume wazee wa makuhani wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa Isaya+ nabii, mwana wa Amozi.+
29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+
20 Lakini Hezekia+ mfalme na Isaya+ mwana wa Amozi,+ nabii,+ wakaendelea kusali kuhusu jambo hilo+ na kuendelea kuzililia mbingu ili kupata msaada.+