Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.

  • Isaya 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+

  • Hosea 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.

  • Mathayo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hezekia akamzaa Manase;+

      Manase+ akamzaa Amoni;+

      Amoni+ akamzaa Yosia;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki