2 Ahazi alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka 16; naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, Mungu wake, kama Daudi babu yake.+
20 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Hezekia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.