2 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 1 Mambo ya Nyakati 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ahazi+ mwana wake, Hezekia+ mwana wake, Manase+ mwana wake, 2 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ Isaya 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+ Hosea 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli. Mathayo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uzia akamzaa Yothamu;Yothamu+ akamzaa Ahazi;+Ahazi akamzaa Hezekia;+
18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.
29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+
1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+
1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.