Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ahazi+ mwana wake, Hezekia+ mwana wake, Manase+ mwana wake,

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+

  • Isaya 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono+ ya Isaya+ mwana wa Amozi aliyoyaona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+

  • Hosea 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.

  • Mathayo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uzia akamzaa Yothamu;

      Yothamu+ akamzaa Ahazi;+

      Ahazi akamzaa Hezekia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki