2 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 1 Mambo ya Nyakati 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ahazi+ mwana wake, Hezekia+ mwana wake, Manase+ mwana wake,
18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.