1 Mambo ya Nyakati 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ahazi+ mwana wake, Hezekia+ mwana wake, Manase+ mwana wake, 2 Mambo ya Nyakati 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake. Mathayo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uzia akamzaa Yothamu;Yothamu+ akamzaa Ahazi;+Ahazi akamzaa Hezekia;+
27 Mwishowe Ahazi akalala pamoja na mababu zake, nao wakamzika katika jiji, Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akaanza kutawala mahali pake.