2 Mambo ya Nyakati 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu,+ naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama Daudi babu yake.+ Mathayo 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uzia akamzaa Yothamu;Yothamu+ akamzaa Ahazi;+Ahazi akamzaa Hezekia;+
28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu,+ naye hakufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama Daudi babu yake.+