2 Wafalme 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mwishowe Hoshea+ mwana wa Ela akafanya hila+ juu ya Peka mwana wa Remalia, akampiga na kumuua;+ naye akaanza kutawala mahali pake katika mwaka wa 20 wa Yothamu+ mwana wa Uzia. 2 Wafalme 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Ahazi mfalme wa Yuda, Hoshea+ mwana wa Ela akawa mfalme katika Samaria+ juu ya Israeli kwa miaka tisa.
30 Mwishowe Hoshea+ mwana wa Ela akafanya hila+ juu ya Peka mwana wa Remalia, akampiga na kumuua;+ naye akaanza kutawala mahali pake katika mwaka wa 20 wa Yothamu+ mwana wa Uzia.
17 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Ahazi mfalme wa Yuda, Hoshea+ mwana wa Ela akawa mfalme katika Samaria+ juu ya Israeli kwa miaka tisa.