2 Wafalme 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Mfalme Ahazi wa Yuda, Hoshea+ mwana wa Ela akawa mfalme wa Israeli huko Samaria; alitawala kwa miaka tisa. 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:1 “Kila Andiko,” kur. 148-149
17 Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Mfalme Ahazi wa Yuda, Hoshea+ mwana wa Ela akawa mfalme wa Israeli huko Samaria; alitawala kwa miaka tisa.