2 Wafalme 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakaanza kumwita mfalme, lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa mwana wa Asafu karani, wakatoka nje, wakawajia.
18 Nao wakaanza kumwita mfalme, lakini Eliakimu+ mwana wa Hilkia, aliyekuwa juu ya hiyo nyumba, na Shebna+ mwandishi na Yoa mwana wa Asafu karani, wakatoka nje, wakawajia.