23 Katika mwaka wa 15 wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli akawa mfalme katika Samaria kwa miaka 41.
10 Naye Amazia kuhani wa Betheli+ akapeleka habari kwa Yeroboamu+ mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi amepanga hila juu yako ndani ya nyumba ya Israeli.+ Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.+