5 Nanyi mtakimbilia bonde la milima yangu;+ kwa sababu bonde la milima hiyo litafika mpaka Aseli. Nanyi mtakimbia, kama vile mlivyokimbia kwa sababu ya lile tetemeko la nchi katika siku za Uzia mfalme wa Yuda.+ Na Yehova Mungu wangu atakuja,+ watakatifu wote wakiwa pamoja naye.+