Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+

      Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+

      Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+

  • Zaburi 98:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mbele za Yehova, kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+

      Ataihukumu nchi yenye kuzaa kwa uadilifu+

      Na vikundi vya watu kwa unyoofu.+

  • Yuda 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo, Enoko,+ wa saba kutoka kwa Adamu, alitoa unabii pia kuwahusu, wakati aliposema: “Tazama! Yehova alikuja pamoja na watakatifu wake makumi ya maelfu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki