2 Wafalme 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Katika mwaka wa 23 wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi+ mwana wa Yehu+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 17. 2 Wafalme 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika mwaka wa 37 wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 16. 2 Wafalme 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Katika mwaka wa 15 wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli akawa mfalme katika Samaria kwa miaka 41. 2 Wafalme 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mwishowe Yeroboamu akalala pamoja na mababu zake, pamoja na wafalme wa Israeli, na Zekaria+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
13 Katika mwaka wa 23 wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi+ mwana wa Yehu+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 17.
10 Katika mwaka wa 37 wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 16.
23 Katika mwaka wa 15 wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli akawa mfalme katika Samaria kwa miaka 41.
29 Mwishowe Yeroboamu akalala pamoja na mababu zake, pamoja na wafalme wa Israeli, na Zekaria+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.