30 Basi Yehova akamwambia Yehu: “Kwa kuwa umetenda vema na umefanya yaliyo sawa machoni pangu kwa kutenda mambo yote yaliyokuwa moyoni mwangu niliyokusudia kuitendea nyumba ya Ahabu,+ vizazi vinne vya wana wako vitaketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.”+