13Katika mwaka wa 23 wa utawala wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu+ akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 17.
10 Katika mwaka wa 37 wa utawala wa Mfalme Yehoashi wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 16.
23 Katika mwaka wa 15 wa utawala wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Mfalme Yehoashi wa Israeli akawa mfalme huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 41.
8 Katika mwaka wa 38 wa utawala wa Mfalme Azaria+ wa Yuda, Zekaria+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miezi sita.
12 Hilo lilitimiza neno hili la Yehova alilokuwa amemwambia Yehu: “Vizazi vinne vya wana wako+ vitaketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.”+ Na ikawa hivyo.