Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Katika mwaka wa 23 wa utawala wa Yehoashi+ mwana wa Ahazia+ mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu+ akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 17.

  • 2 Wafalme 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Katika mwaka wa 37 wa utawala wa Mfalme Yehoashi wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 16.

  • 2 Wafalme 14:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika mwaka wa 15 wa utawala wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Mfalme Yehoashi wa Israeli akawa mfalme huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 41.

  • 2 Wafalme 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Katika mwaka wa 38 wa utawala wa Mfalme Azaria+ wa Yuda, Zekaria+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miezi sita.

  • 2 Wafalme 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hilo lilitimiza neno hili la Yehova alilokuwa amemwambia Yehu: “Vizazi vinne vya wana wako+ vitaketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.”+ Na ikawa hivyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki