1Neno la Yehova lililomjia Hosea* mwana wa Beeri katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.
1Maneno ya Amosi,* aliyekuwa mmoja wa wafugaji wa kondoo kutoka Tekoa,+ aliyoyapokea katika maono kuhusu Israeli katika siku za utawala wa Mfalme Uzia+ wa Yuda na katika siku za utawala wa Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli, miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi.+