2 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ aliyekuwa na umri wa miaka 16, wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 26:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzia+ alikuwa na umri wa miaka 16 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 52 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.+ 4 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama Amazia baba yake alivyotenda.+ Isaya 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Maono ambayo Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+
26 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ aliyekuwa na umri wa miaka 16, wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+
3 Uzia+ alikuwa na umri wa miaka 16 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 52 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.+ 4 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama Amazia baba yake alivyotenda.+
1 Maono ambayo Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+