2 Mambo ya Nyakati 29:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama alivyofanya Daudi babu yake.+ 2 Mambo ya Nyakati 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mfalme Hezekia na nabii Isaya+ mwana wa Amozi waliendelea kusali kuhusu jambo hilo na kuzililia mbingu ili wapate msaada.+
29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+ 2 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama alivyofanya Daudi babu yake.+
20 Lakini Mfalme Hezekia na nabii Isaya+ mwana wa Amozi waliendelea kusali kuhusu jambo hilo na kuzililia mbingu ili wapate msaada.+