2 Mambo ya Nyakati 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na mambo mengine katika historia ya Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yaliandikwa na nabii Isaya+ mwana wa Amozi. Isaya 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni.
22 Na mambo mengine katika historia ya Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yaliandikwa na nabii Isaya+ mwana wa Amozi.
6 Katika mwaka ambao Mfalme Uzia alikufa,+ nilimwona Yehova akiwa ameketi kwenye kiti cha ufalme kilicho juu na kilichoinuliwa,+ na pindo za kanzu yake zilijaa hekaluni.