-
2 Wafalme 13:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Katika mwaka wa 37 wa utawala wa Mfalme Yehoashi wa Yuda, Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 16. 11 Akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, hakuacha kutenda dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati alizosababisha Waisraeli kutenda.+ Aliendelea kutenda* dhambi hizo.
-