Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika mwaka wa 15 wa utawala wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Mfalme Yehoashi wa Israeli akawa mfalme huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 41. 24 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alisababisha Waisraeli kutenda.+

  • Hosea 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova lililomjia Hosea* mwana wa Beeri katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.

  • Amosi 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kuhani Amazia wa Betheli+ akatuma ujumbe huu kwa Mfalme Yeroboamu+ wa Israeli: “Amosi anapanga njama dhidi yako katikati kabisa ya nyumba ya Israeli.+ Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki