21 tazama, ninaleta msiba juu yako;+ nami nitafagia kabisa nikikufuata nyuma yako+ na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu yeyote anayekojoa ukutani+ na asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli.
26 ‘ “Hakika niliona jana damu+ ya Nabothi na damu ya wanawe,”+ asema Yehova, “nami hakika nitakulipa+ wewe katika sehemu hii ya shamba,” asema Yehova.’ Basi sasa, mwinue; mtupe katika ile sehemu ya shamba kulingana na neno la Yehova.”+