Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ikiwa ndugu yako, mwana wa mama yako, au mwana wako au binti yako au mke wako mpendwa au mwenzako aliye kama nafsi yako mwenyewe,+ atajaribu kukushawishi kwa siri, akisema, ‘Twende tukaitumikie miungu mingine,’+ ambayo hukuijua, wewe wala mababu zako,

  • Waamuzi 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikawa kwamba kwa sababu mwanamke huyo alimkaza+ kwa maneno yake wakati wote na kuendelea kumsihi, nafsi yake ikakosa subira kufikia hatua ya kutaka kufa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake+ alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu.

  • Ufunuo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki