33 Na Ahabu akatengeneza mti mtakatifu;+ na Ahabu akafanya mengi zaidi ya kumtia uchungu+ Yehova Mungu wa Israeli, kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.
27 Naye akaendelea kutembea katika njia ya nyumba ya Ahabu,+ akazidi kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kama nyumba ya Ahabu, kwa maana alikuwa mtu wa jamaa ya nyumba ya Ahabu kupitia ndoa.+
16 Na sheria za Omri+ na kazi yote ya nyumba ya Ahabu zinafuatwa,+ nanyi mnatembea katika mashauri yao;+ ili mimi niwafanye ninyi kuwa kitu cha kushangaza na wakaaji wake kuwa kitu cha kupigiwa mluzi kwa mshangao;+ nanyi mtachukua shutuma ya vikundi vya watu.”+