18 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ kama walivyofanya wale wa nyumba ya Ahabu;+ kwa maana binti ya Ahabu ndiye aliyekuwa mke wake,+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+