1 Wafalme 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+ 1 Wafalme 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tena akamsimamishia Baali madhabahu katika nyumba+ ya Baali aliyoijenga kule Samaria.
28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+