Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 44:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+

      Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+

  • Yeremia 51:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “Tumeona aibu,+ kwa maana tumesikia shutuma.+ Fedheha imefunika nyuso zetu,+ kwa maana wageni wamekuja juu ya mahali patakatifu pa nyumba ya Yehova.”+

  • Maombolezo 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ee Yehova, ukumbuke yale yaliyotupata.+ Utazame, uone shutuma zetu.+

  • Danieli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, kulingana na matendo yako yote ya uadilifu,+ tafadhali, hasira yako na ghadhabu yako na zigeuke kutoka kwenye jiji lako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu;+ kwa maana Yerusalemu na watu wako ni vitu vya kushutumiwa na watu wote wanaotuzunguka+ kwa sababu ya dhambi zetu na kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki