Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na hata hivyo pamoja na yote hayo, huku wakiendelea kukaa katika nchi ya adui zao, hakika sitawakataa+ wala kuwachukia+ ili kuwaangamiza, na kulivunja agano+ langu pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.

  • Yeremia 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wewe mwenyewe umejua.+ Ee Yehova, nikumbuke+ na unikazie fikira zako na kulipiza kisasi juu ya watesaji wangu.+ Usiniondolee mbali katika upole wako wa hasira.+ Angalia kwamba ninachukua shutuma kwa ajili yako.+

  • Maombolezo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tazama, Ee Yehova, kwa maana nina dhiki kali. Matumbo yangu yako katika msukosuko.+

      Moyo wangu umepinduliwa ndani yangu,+ kwa maana nimeasi kabisa.+

      Huko nje upanga uliwaua watoto.+ Ndani ya nyumba ni sawasawa na kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki