25 Basi Yehoshafati na watu wake wakaja kuchukua nyara kutoka kwao, wakapata vitu vingi sana, mavazi, na vitu vyenye kutamanika, ambavyo waliwavua mpaka waliposhindwa kubeba zaidi.+ Walichukua nyara hizo kwa siku tatu, kwa maana zilikuwa nyingi sana.