Kutoka 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na neno la Musa, wakawaomba Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda.+ 2 Wafalme 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo wakawafuata mpaka Yordani; na tazama! njia yote ilijaa mavazi na vyombo+ ambavyo Wasiria walikuwa wamevitupa walipokuwa wanakimbia.+ Kisha wale wajumbe wakarudi na kumletea mfalme habari. Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+
35 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na neno la Musa, wakawaomba Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu na nguo za kujitanda.+
15 Ndipo wakawafuata mpaka Yordani; na tazama! njia yote ilijaa mavazi na vyombo+ ambavyo Wasiria walikuwa wamevitupa walipokuwa wanakimbia.+ Kisha wale wajumbe wakarudi na kumletea mfalme habari.
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+