1 Wafalme 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Daudi akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi.+ 2 Mambo ya Nyakati 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 32, naye akatawala miaka 8 katika Yerusalemu. Mwishowe akaenda zake bila kutamaniwa.+ Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+
20 Alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 32, naye akatawala miaka 8 katika Yerusalemu. Mwishowe akaenda zake bila kutamaniwa.+ Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+