2 Wafalme 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na katika mwaka wa tano wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda akawa mfalme. 2 Mambo ya Nyakati 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye akatawala+ miaka 8 katika Yerusalemu.
16 Na katika mwaka wa tano wa Yehoramu+ mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Yehoshafati alipokuwa mfalme wa Yuda, Yehoramu+ mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda akawa mfalme.
5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye akatawala+ miaka 8 katika Yerusalemu.