2 Wafalme 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akafa mwishowe,+ kulingana na neno+ la Yehova alilosema Eliya; na Yehoramu+ akaanza kutawala mahali pake, katika mwaka wa pili wa Yehoramu+ mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu hakuwa amepata mwana.
17 Naye akafa mwishowe,+ kulingana na neno+ la Yehova alilosema Eliya; na Yehoramu+ akaanza kutawala mahali pake, katika mwaka wa pili wa Yehoramu+ mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu hakuwa amepata mwana.